Habari wadau shamba lipo wilayani Manyoni MKOANI singinda umbali wa kutoka Manyoni mjini au stend ya mabasi mpaka shamba ni kilometa 9 shamba hili halijasafishwa shamba hili lina ukubwa wa ekari 150 shamba hili kutoka lami mpaka linapo anzia mita 200 shamba hili lipo karibu na maji maji yapo umbali wa mita 400 maji haya haya kauki kwenye picha hapo More
$80,000